Wacha Mungu wa Bibi Kilihona (Swahili Edition)
📄 Viewing lite version
Full site ›
Book Details
Author(s)Gabriel Ruhumbika
PublisherE & D Vision Publishing Ltd
ISBN / ASIN9987735118
ISBN-139789987735112
AvailabilityUsually ships in 24 hours
Sales Rank5,232,615
MarketplaceUnited States 🇺🇸
Description ▲
Ni katika mwaka wa 1895, Kilihona alipokuwa msichana wa miaka kumi na tatu, tayari “amekwishagunduliwa” na wazazi wenye wavulana kama mchumba wa kufikiria kuposea watoto wao na uzuri wake tayari umetungiwa nyimbo na wacheza enanga vijana wa sehemu za kwao, ndipo hao Wazungu, wa kabila la Wajerumani, walipoingia kwenye Ufalme wa Ukerewe kwa namna isiyosahaulika.